Utangulizi: Jimbo la Dimani
JUMEDI – Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Jimbo la Dimani. Ni jumuiya isiyo ya kiserikali wala kisiasa, iliyoanzishwa kwa hiari kuleta maendeleo ya elimu.
Historia ya Elimu Miaka 1980–1992 skuli ya Kombeni ilikuwa maalumu. Mwaka 1997 wanafunzi 45 kidato cha pili, 4 tu wakajiunga kidato cha tatu (8%).
Skuli zilizolengwa
Bwefumu, Dimani, Kombeni Msingi/Sekondari, Maungani Msingi/Sekondari, Kisauni, Kitongani, Mombasa.
Dira · Dhamira · Imani
DIRA
Jumuiya imara, yenye kuwajibika – kuhamasisha, kunyanyua, kusaidia, kusimamia na kuelimisha jamii kwa maendeleo endelevu ya maisha bora ya wanafunzi.
DHAMIRA
Kuwajengea uwezo wanafunzi kuchangia kupunguza umaskini na kuimarisha utawala bora – kwa elimu bora ndani na nje ya Dimani.
THAMANI
JUMEDI yenye ubunifu, huduma kwa wote bila kubagu rangi, dini, jinsia wala itikadi za kisiasa.
Malengo 12 ya JUMEDI (Ibara 2.4)
Muundo na Uongozi
Mkutano Mkuu
Hukutana mara moja mwaka; wanachama wote.
Baraza la Uongozi
Mwenyekiti, Makamo, Katibu, Naibu Katibu, Mshikafedha, Msaidizi, Wajumbe Maalumu 6, Viongozi wa Idara.
Bodi ya Wadhamini
Sifa za Mwenyekiti Mtanzania, umri 30+, kidato cha 6, aliyeishi Ndaambani miaka 10 (kama sio mzaliwa).
Katibu: Kuhifadhi kumbukumbu, kuandaa vikao, mawasiliano, ripoti.
Mshikafedha: Kuandaa bajeti, kuhifadhi fedha, malipo kwa idhini.
Wajumbe Maalumu (6): Kusimamia sera, bajeti, utawala na utekelezaji.
Uanachama, Haki, Ada na Wajibu
Sifa
Ada
Kujiunga Tsh 2,000
Mwezi Tsh 500 · Mwaka Tsh 6,000 (zinaweza kubadilika)
Aina
Waanzilishi (wastahiki), Wanachama wa kawaida, Walioteuliwa na Baraza.
Kuachishwa: hiari, kuvunja masharti, kutolipa ada mwaka+1, kifo, uamuzi wa Baraza.
Idara Ndogondogo (3)
Mipango, Fedha na Uchumi
Bajeti, kutafuta fedha na miradi, ripoti za fedha.
Taaluma na Utafiti
Elimu kwa wote, kutatua changamoto, utafiti wa kina.
Habari, Wanawake na Uhamasishaji
Uhamasishaji afya, UKIMWI, kujiajiri, kupambana na unyanyasaji.
Uchaguzi Huru na wa Haki
Kila baada ya miaka 3 viongozi huchaguliwa kwa kura za siri katika Mkutano Mkuu.
Kamati ya Uchaguzi: wajumbe 3-5, huundwa mwezi 1 kabla, Mwenyekiti wa Kamati ndiye msimamizi mkuu.
Namna ya kuendesha
Hazina na Ukaguzi
Fedha zatokana na: ada, misada, miradi, harambee. Akaunti Benki ya Watu wa Zanzibar.
Fedha zinatunzwa na Mshikafedha, chini ya Kamati Tendaji na Bodi ya Wadhamini.
Mabadiliko ya Katiba & Mawasiliano
2/3 ya wajumbe wanahitajika kurekebisha Katiba (Mkutano Mkuu).
Barua: S.L.P 1576 Zanzibar · Email: jummedi@yahoo.com